• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Zoezi la Ugawaji Fedha kwa Kaya Maskini laendelea Wilayani Serengeti ambapo Kijiji cha Nyamburi wamepokea Tsh 3,108,000/= kwa Wanufaika 51

Imewekwa: February 17th, 2021

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti leo 17/02/2021 imeendelea na zoezi la kugawa fedha kwa walengwa wa Kaya Masikini Tarafa ya Rogoro kwenye Vijiji vya Bisarara,Bonchugu,Mbirikili  eyamburi na vijiji vingine vya jirani.

Zoezi limefanyika vizuri bila uwepo wa malalamiko yoyote kwani wanufaika katika vijiji wametembelewa na wawezeshaji akiwemo Mratibu wa Zoezi hilo la kugawa fedha hizo Bi Antusa Swai pamoja na Mshauri wa Tasaf Ndugu Sokoro Mnubi.

Katika Kijiji cha Nyamburi Afisa Mtendaji wa Kijiji hicho Ndugu Jeremia Maro Gitano alithibitisha kuwa wamepokea Fedha Jumla ya Tsh 3,108,000/= kwa ajili ya kuzigawa kwa walengwa hao ambao wana jumla ya Idadi ya (51) ambapo alifanya mazungumzo na Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya Serengeti na kumthibitishia kuwa fedha zinatumika vizuri hasa kwa kundi la Wanawake ambao wamekuwa wakizitumia kwa shughuli mbali mbali kama Ufugaji,Kilimo pamoja na Biashara ndogo ndogo tofauti na Upande wa Wanaume ambao wao wakizipata huzitumia kunywea pombe za Kienyeji.

Baada ya maelezo hayo kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Nyamburi ndipo Mshauri wa Tasaf Ndugu Sokoro Mnubi alipata nafasi ya kuzungumza na wanufaika hao na kuwashauri juu ya matumizi mazuri ya fedha hizo na hasa katika kuzitumia fedha hizo pia kujiunga na Mfuko wa Afya wa CHF iliyoboreshwa ambayo inatolewa kwa Tsh 30,000/= ambayo pia wanafamilia wapatao (6) watapata Huduma za Matibabu katika Hospitali zote Nchini.

Imetolewa 

Afisa Habari- Mahusiano

Emmanuel Isyaga Mwita

Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti