• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WORLD CHANGER VISION: KUTOKA MWANAFUNZI MMOJA HADI KUWA MWOKOZI WA MAMIA YA NDOTO ZA VIJANA KATIKA ELIMU

Imewekwa: November 17th, 2023

Chuo cha World Changer kilichopo Wilayani Serengeti mkoani Mara kilianzisha mwaka 2019 kikiwa na mwanafunzi mmoja ambapo mpaka sasa zaidi ya wanafunzi 68 wakiwa wamehitumu mafunzo ya ufundi stadi katika chuo hicho huku wanafunzi zaidi ya 80 wakiwa wanaendelea kupata elimu katika chuo hicho.



Hivyo, kutokana na umuhimu wa chuo hicho katika kuokoa ndoto za vijana serikali Wilayani Serengeti imeaidi kushirikiana bega kwa bega na uongozi wa chuo hicho katika kuweka mazingira bora ya ufanyaji kazi ikiwa ni pamoja na kuboresha miundombinu inayoelekea chuoni hapo jambo litakalosaidia katika kutimiza ndoto za vijana wanaotegemea chuo hicho kutimiza ndoto zao.


Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti Dkt. Vincent Mashinji amesema uwepo wa chuo hicho katika Wilaya ya Serengeti ni chachu muhimu katika kutimiza ndoto za vijana na kuzalisha ajira na kuleta maendeleo kwa vijana nchini kote hivyo kama serikali itashirikiana vyema na chuo hicho ili ndoto za vijana hao ziweze kutimia.


Dkt. Mashinji ameongeza kuwa uwepo wa chuo hicho ni daraja la kuunganisha na kuimarisha uhusiano mwema uliopo baina ya serikali ya Tanzania na Ujerumani.


Kwa upande wake Mkurugenzi wa taasisi ya World changer Vision nchini Ndg. Sulus Samwel amesema chuo cha World changer vision kimejikita katika kuwasaidia watoto waishio katika mazingira magumu kuhakikisha wanapata elimu ili waweze kutimiza ndoto zao.



Nao wanafunzi waliohitimu  katika chuo hicho wamesema uwepo wa chuo hicho umekuwa wenye manufaa kwao kwani wamejifunza stadi mbalimbali za maisha pamoja na ujasiriamali hivyo kwa Sasa wanaouwezo wa kujitengenezea kipato kuliko hapo awali.



Matangazo

  • ORODHA YA MAJINA WALIOITWA KWENYE MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI AWAMU YA PILI KWA WAENDESHA BVR NA WAANDISHI MSAIDIZI April 28, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO INAYOTOLEWA KWA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU. March 07, 2025
  • TANGAZO LA KUTOA MAONI KUHUSU SHERIA NDOGO. February 24, 2025
  • TANGAZO KWA UMMA January 02, 2025
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • SIKU YA MALARIA WILAYANI SERENGETI

    April 25, 2025
  • KAMATI YA FEDHA UONGOZI NA MIPANGO WATEMBELEA ENEO LA UJENZI WA JENGO LA UTAWALA.

    April 16, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI SERENGETI LAPITISHA BILIONI 48.8 KAMA MPANGO WA BAJETI YA HALMASHAURI 2025/2026.

    March 04, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI WILAYANI SERENGETI LAPITISHA MPANGO WA BAJETI YA TARURA BILIONI 2.4

    March 03, 2025
  • Angalia zote

Video

AKINA MAMA SERENGETI WASEMA ASANTE MAMA SAMIA.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • Frankfurt Zoological Society (FZS)

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti