• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MVUA YAATHIRI MIUNDOMBINU NA KUJERUHI NATTA

Imewekwa: May 11th, 2022

Na.

Goodluck Mwihava

Serengeti-Mara

Mvua zinazoendelea kunyesha Wilayani Serengeti Mkoani Mara zimesababisha uharibifu wa Miundombinu ikiwemo shule,kituo cha afya na Makazi ya Watu.
Mvua hiyo iliyoambata na upepo Mkali imeezua Paa za shule ya Msingi Nattabigo pamoja Paa katika stoo na jiko katika nyumba ya walimu,lakini pia kuangusha miti katika Maeneo mbalimbali,Kituo cha afya Natta ni Miongoni mwa Tasisi iliyoathiriwa na Mvua hiyo kwa kuanguka kwa miti iliyoangukia Jengo na kusababisha nyufa na kuharibika kwa kichomea taka.Upande wa makazi baadhi ya nyumba paa zimeezuliwa na miti kuangushwa.
Akizungumza wakati wa ziara ya kuwatembelea wahanga na Tasisi ambazo miundombinu imeharibiwa
Mkuu wa wilaya serengeti Dkt. Vincent Mashinji amewapa Pole waliopata athari hizo na kuwaasisitiza kupanda miti,lakini pia kuhakikisha kila Mwanafunzi ana Mti ili kuzuia athari kubwa zaidi kwa baadae
Aidha kwa upande wa serikali itafanya tathimini na kuhakikisha kila Kitu rudi kwenye hali yake

Diwani wa Kata ya Natta Mhe. Porini
Ameushukuru uongozi wilaya kwa kufika katika Eneo hilo na kuhakikishia uongozi watasimamia kwa ukaribu marekebisho na athari zote zilizojitokeza ili huduma kwa wananchi ziweze kuendelea.
Nae Mtendaji Kata ya Natta Bw.Sagenda Bomani amewahakikishia wananchi ofisi yake itashirikina nao bega kwa bega.
Kaimu mwalimu mkuu shule ya msingi Mwl.Madirisha amelezea tukio ilo na kuomba msaada wa haraka ili masomo yaweze kuendelea .Mganga mfawidhi kituo cha afya Natta Dkt.JUMA KIPINGU  amekiri kutokea na tatizo hilo na kuomba jitihada za haraka zifanyike ilinkurudisha huduma katika hali ya kawaida


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 04, 2022
  • TANGAZO LA AJIRA-NDDH July 06, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA KIDATO CHA KWANZA JANUARI 2021 December 21, 2020
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI -WMA May 14, 2022
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI MOROTONGA

    May 20, 2022
  • SERIKALI NA WADAU WAUNGANA KUTATUA CHANGAMOTO ZA ATHARI ZA MVUA SERENGETI

    May 15, 2022
  • MVUA YAATHIRI MIUNDOMBINU NA KUJERUHI NATTA

    May 11, 2022
  • UZINDUZI WA OFISI ZA UHAMIAJIA SERENGETI KUSAIDIA WAKAZI NA WAGENI

    May 07, 2022
  • Angalia zote

Video

AFISA MIFUGO SERENGETI APONGEZA UGAWAJI WA MBUZI
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • UCHAGUZI KIDATO CHA KWANZA 2022 SERENGETI DC
  • FOLLOW US INSTAGRAM
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017
  • FOLLOW US TWITTER

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • RUWASA

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti