• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Malalamiko na Mrejesho |
    • Barua pepe za watumishi |
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Malengo
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utumishi na Rasilimali Watu
      • Mipango, Takwimu na Ufuatiliaji
      • Fedha & Biashara
      • Afya
      • Kilimo,Ushirika na Umwagiliaji
      • Ujenzi & Zimamoto
      • Maendeleo Ya Jamii
      • Mazingira & Usafishaji
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu ya Sekondari
      • MIfugo & Uvuvi
      • Ardhi & Maliasili
      • Water
    • Vitengo
      • TEHAMA & Uhusiano
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Sheria
      • Nyuki
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Water
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu.
    • Ratiba
  • Miradi
    • Itakayotekelezwa
    • Inayoendelea
    • Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma Kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
    • Majarida
    • Ripoti Mbalimbali
      • Majarida
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kitengo cha Sheria

Kitengo cha sheria kina watumishi wawili ambao ni;

1.. Wakili Maganiko B.D.Msabi (ambae ni mkuu wa kitengo cha sheria) pamoja na

2. Wakili Veronica c. lukanda .


Kitengo hiki kina shuughuli kuu za utekelezaji wa mipango ,upitishaji na ufuatiliaji wa sheria ndogo za kodi ya majengo ,ushuru wa huduma za usafi na mazingira ,Ada na ushuru wa marekebisho ya  kanuni za kudumu za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti.

Aidha kitengo hiki kina wajibu wa kuhakikisha dhana ya Sheria ya demokrasia inafikiwa kwa kutimiza majukumu yafuatayo:


  • Kutoa ushauri juu ya mambo yote ya kisheria.

  • Kusimamia kesi mahakamani .

  • Kutoa ushauri katika vikao vya menejimenti na vya halmashauri nzima vilivyopo kwa mujibu wa sheria.

  • Kupitia mikataba na kutafsiri vyema  na kufuatilia utelekezaji wake;

  • Kusaidia utungaji wa sheria ndogo  na kufuatilia upitishaji  na utekelezaji wake .

  • Kujenga uwezo kwa masuala ya kisheria .

  • Kusimamia uundwaji wa mabaraza ya ardhi ya kata na kuyasimamia katika utendaji wa kazi zake .

  • Kutoa ushauri wa kisheria na msaada huo kwa wananchi.


                        

Karibu wananchi wote kwa msaada wa kisheria

Matangazo

  • TANGAZO KWA WANANCHI WOTE WALIOOMBA KUJENGA VIBANDA ENEO LA STENDI YA MABASI December 06, 2019
  • TANGAZO KWA WAZABUNI WOTE November 12, 2019
  • TANGAZO LA UUZAJI WA MICHE YA MITI April 10, 2019
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • MH. RYOBA ALIA NA MABOMA

    August 16, 2019
  • WANANCHI WATAKIWA KUWA NA VIBALI VYA UJENZI

    August 10, 2019
  • JIMBO LA SERENGETI LAENDESHA MAFUNZO KWA MAAFISA WAANDIKISHAJI WASAIDIZI NGAZI YA KATA

    July 24, 2019
  • SERENGETI YAENDESHA SEMINA YA UHAKIKI WA TAARIFA ZA USULUHISHI WA KIBENKI (BANK RECONALIATION) KWA WAHASIBU

    July 04, 2019
  • Angalia zote

Video

Mkuu wa Wilaya ya Serengeti akiongelea kuhusu ujenzi wa hospitali ya Wilaya ya Serengeti.
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Maktaba ya Picha za Matukio mbali mbali
  • Matokeo ya Kidato cha nne mwaka 2017
  • Bofya hapa kupata fomu mbalimbali za Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti
  • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
  • Matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Kidato cha pili (FTNA) 2017

Viunganishi Linganifu

  • Ikulu ya Rais
  • Utumishi
  • Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Sekretarieti ya Mkoa wa MARA
  • Tanzania National Parks TANAPA
  • GIZ

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana nasi

    31603 Stendi Kuu | Serengeti

    Anuani ya Posta: 176 Mugumu Serengeti

    Simu ya mezani: 0282985686

    Simu: 0782677763

    Barua pepe: ded@serengetidc.go.tz

Other Contacts

   

Wageni waliotembelea tovuti

writingMasterThesis

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki © 2018 Halmashauri ya Wilaya ya Serengeti